Tabıa Za Mfano Za Marafıkı Wa Allah - 1

Marafiki wa Mwenyezi Mungu ni njia za Baraka na rehema kwa majirani zao. Wao ni mikono ya huruma inayoyakumbatia makundi yote ya jamii. Wao pia ni kama sumaku inayowavuta waumini kwa kuwa Mwenyezi Mungu amewapenda watu hawa wema na watu nao pia wanalazimika kuwapenda.


Read In Other Languages

ALBANIAN
ARABIC
ENGLISH
KAZAKH
KURDISH